JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

UN ina wasiwasi na hatua ya kusonga mbele M23

Kundi la M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, linasonga mbele kwenye hujuma zake katika maeneo ya kimkakati, mashariki mwa nchi hiyo, baada ya kuiteka miji miwili muhimu. Umoja wa Mataifa umetowa tahadhari hiyo jana Jumatano, ukionesha msisitizo wa kitisho cha…

Rais Donald Trump amuita Zelensky dikteta

Rais wa Marekani Donald Trump amemuita Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine dikteta anayekataa kuitisha uchaguzi na kumuonya kwamba anabidi kuchukua hatua za haraka kutafuta amani au kupoteza nchi yake. “Amekataa kufanya uchaguzi, hana umaarufu katika kura za maoni ya Waukraine…

Waziri Mhagama apongeza kiwanda pekee kinachotengeneza maji tiba nchini

……. Ni cha Kairuki Pharmaceuticals Industry Limited Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Afya, Jenista Mhagama, amekipongeza kiwanda cha kutengeneza maji tiba cha Kairuki Pharmaceuticals Industry Limited kilichoko Mkoa wa Pwani. Alitoa pongezi hizo jana alipotembelea kiwanda hicho kwa…

Jaji Warioba : Napongeza CCM kwa hatua zake hidi ya rushwa

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba, amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mapambano dhidi ya rushwa kwenye uchaguzi. Jaji Warioba ametoa pongezi hizo akirejea mabadiliko ya Katiba ya…

Bolt yafurahishwa kuongezeka idadi ya wateja wanaotumia huduma za usafiri mtandaoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI inayoongoza kwa huduma za usafirishaji mtandaoni nchii na Barani Afrika imefurahishwa na kuongezeka kwa idadi ya wateja wanaotumia huduma hiyo. Dimmy Kanyankole ni Meneja Mkuu wa Bolt Tanzania na Kenya alisema kuwa…