JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jiji la Makonda mshindi wa tatu utoaji taarifa kwa umma

Mkoa wa Arusha umekuwa mshindi wa tatu kwa Vitengo vya Mawasiliano Serikalini vinavyofanya vizuri katika utoaji wa taarifa kwa umma miongoni mwa mikoa 26 ya Tanzania Bara kwa mwaka 2023/2024. Tuzo hizo zilitangazwa na Mkurugenzi wa Habari Maelezo na Msemaji…

TANESCO yawezesha kuanza kwa ujenzi wa tuta la mto Lumemo

Na Shamu Lameck, JamhuriMedia, Ifakara Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa tuta la kuzuia maji ya mto lumemo uliopo kwenye Halmashauri ya mji wa Ifakara mkoani Morogoro. Akizungumza Juni 15,2024 Mkuu wa Wilaya ya Kilombero…

Zoezi la uboreshaji wa daftari la wapiga kura lasogezwa hadi Julai 20, 2024

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kusogezwa mbele kwa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura hadi tarehe 20 Julai, 2024 badala ya tarehe 01 Julai, 2024 iliyopangwa hapo awali….

Serikali yaondoa hofu ya umeme kutofika vitongoji vyote nchini

📌 Kapinga asema vitongoji vyote vitasambaziwa umeme 📌 Vituo vya kupoza umeme kujengwa Kilosa, Mbinga na Hanang 📌 Vitongoji 33,000 vyafikiwa na huduma ya umeme 📌 Wakandarasi kuendelea kusimamiwa kwa weledi Na Mwandisho Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati,…

Waziri Kairuki atoa wito kwa nchi wanachama wa Afr100 kuweka mifumo ya ufutiliaji kuokoa misitu iliyoathiriwa

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam Waziri wa Maliasili wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) ametoa wito kwa nchi wanachama wa mkakati wa kuokoa ardhi na misitu iliyoharibiwa takribani Hekta milioni 100 Barani Afrika (African Forest Restoration Initiatives – AFR100)…