JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Muswada wa Fedha 2024; Bunge laidhinisha, wanajeshi kulinda amani Kenya

Bunge la Kenya limeidhinisha ombi la Baraza la Ulinzi la kutumiwa kwa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kutoa ulinzi kufuatia maandamano ya kupinga muswada wa Fedha kote nchini. Kulingana na Waraka wa Amri ya Ziada iliyopangwa Jumatano, Juni 26,…

Zaidi ya wagonjwa 160 wanapata matibabu Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta kufuatia maandamano

Zaidi ya wagonjwa 160 wanapokea matibabu katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta kufuatia maandamano ya jana ya kupinga ushuru. Kaimu mkuu wa upasuaji katika hospitali hiyo Dk Benjamin Wabwire anasema wagonjwa wengi waliletwa wakiwa na majeraha mbalimbali , sita walikuwa…

Ofisi ya Makamu wa Rais yasajili miradi 9,061 ikiwemo ya hifadhi ya mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema imesajili miradi zaidi ya 9,061 ikiwemo ya hifadhi ya mazingira yenye thamani ya zaidi ya shilingi trilioni 37.55. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano…

Mkuu wa chuo Kikuu Huria akanusha kuvuja kwa mitihani, 17 wadakwa wakijifanya wanafunzi

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Profesa Elifasi Bisanda amekanusha kuvuja kwa mitihani na kuwepo kwa vitendo vya udanganyifu wakati wa mitihani cmya muhula uliopita. Aidha pia ameonya kwa wale wote wenye nia…

Serikali yakunwa na Fema kusaidia kupunguza ukatili kwa makundi balehe

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato SERIKALI imezitaka taasisi zisizokuwa za kiserikali kuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia, rushwa, ngono, dawa za kulevya, mauaji pamoja na mimba za utotoni hasa kwa kundi balehe. Hatua hiyo inatokana…

Polisi Rukwa yamshikilia Anifa kwa tuhuma za kumtupa mtoto chooni baada ya kujifungua

Na Israel Mwaisaka, JamhuriMedia, Rukwa Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Anifa Mwanawima (36) mkazi wa Kijiji Cha Mashete wilayani Nkasi Kwa kosa la kumtupa mtoto wake chooni baada ya kujifungua. Kwa mujibu wa…