JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bilioni 51 za Rais Samia zaleta neema Manispaa Tabora

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imepongezwa kwa kupeleka zaidi ya sh bil 51 katika halmashauri ya manispaa Tabora kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo tangu mwaka 20201….

STAMICO yapongezwa kwa maono na mafanikio makubwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limepongezwa kwa kasi kubwa ya maendeleo lililoyapata kwa miaka michache iliyopita. Hayo yamesemwa leo tarehe 22 Februari, 2025 na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo kwenye…

RC Mtanda: Ucheleweshaji fidia unarudisha nyuma maendeleo yetu

Wananchi wa Kata ya Shibula Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza wameiomba Serikali kuharakisha ulipaji wa fidia ili waweze kuendelea na uwekezaji katika maeneo mengine huku wakieleza kuwa ucheleweshwaji wa fidia hiyo umekuwa ukirudusha nyuma maendeleo yao. Hayo wameyabainisha February 21,…

Mfuko wa Dunia Global Fund watembelea Bohari ya Dawa MSD

Ujumbe wa Mfuko wa Dunia wa kupambana na magonjwa ya UKIMWI, Kifua Kikuu na Malaria (Global Fund) ukiongozwa na Mkurugenzi Mwakilishi – Afrika Bwana Linden Morrison umetembelea MSD kwa lengo la kupata mrejesho wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ambayo Global…

Pwani kuzindua kampeni msaada wa kisheria ya Mama Samia Feb 24, 2025

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaji Abubakari Kunenge, ametangaza kuwa mkoa wa Pwani utazindua rasmi Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, ‘Samia Legal Aid’, tarehe 24 Februari 2025. Uzinduzi huo utafanyika katika Viwanja…