JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Papa Francis bado yuko hali mbaya kiafya

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis yuko katika hali mbaya ya kiafya baada ya vipimo vya damu kuonyesha dalili za mapema za kushindwa kwa figo. Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis yuko katika hali mbaya ya kiafya baada…

Waziri wa New Zealand ajiuzulu

Waziri wa biashara wa New Zealand Andrew Bayly amejiuzulu kama waziri wa serikali baada ya ‘kuigusa’ sehemu ya juu ya mkono wa mfanyakazi wake wiki iliyopita, katika kile alichoelezea kama tabia ya ‘kupindukia’. Bayly alisema siku ya Jumatatu kwamba “anasikitika…

Shule binafsi za awali, msingi 101 zanufaika na mradi wa Opportunity International

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Dar Ofisa Elimu Taaluma wa Mkoa wa Dar es Salaam, Eva Mosha, ametoa rai kwa wamiliki na walimu wa shule binafsi za awali na msingi kuimarisha ufanisi wa ufundishaji na kuboresha ubora wa elimu, ili kuinua…

ETDCO yaibuka kidedea tuzo za ZICA

Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme nchini (ETDCO) imebuka mshindi katika kipengele cha Mkandarasi Bora wa Ujenzi wa Miundombinu ya Umeme, katika Tuzo za Zanzibar International Construction Awards (ZICA) zilizofanyika Februari 22, 2025,…

Trump tishio jipya Ukraine

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesisitiza umuhimu wa msaada wa Marekani katika juhudi za kurejesha amani nchini mwake. Katika hotuba yake, aliomba usaidizi wa dhati wa Washington kuhakikisha kumalizika kwa vita vinavyoendelea. Wakati huohuo, Rais wa Marekani, Donald Trump, amemkosoa…