Latest Posts
Madiwani Arusha wamwomba Makonda agombee ubunge Arusha Mjini
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Arusha .Madiwani wa Baraza la Halmashauri katika Jiji la Arusha wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda agombee ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika oktoba mwaka huu 2025. Madiwani…
Korogwe waipongeza Serikali utekelezaji miradi ya umeme
📌 Ni katika ziara ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Tanga 📌 Vijiji vyote 118 vyafikishiwa umeme 📌 Naibu Waziri Kapinga ashiriki ziara. Wananchi wa Wilaya ya Korogwe wameipongeza Serikali kwa utekelezaji wa miradi ya umeme Vijijini ambapo katika…
Rais Dkt Samia : Nimeridhishwa na maendeleo Mradi wa Umwagiliaji Mkomazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ameridhishwa na maendeleo ya mradi wa Umwagiliaji Mkomazi unaofekelezwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) mkoani Tanga. Amesema, mradi huo umezungumzwa kwa miaka zaidi ya 50 sasa Serikali…
TPA yatoa ripoti ya mafanikio ya bandari tangu kuingia kwa Serikali ya Awamu ya Sita madarakani
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema tangu Serikali ya awamu ya Sita iingie madarakani,mapato ya mamlaka hiyo yameongezeka kutoka shilingi trilion 1.1 Mwaka wa Fedha 2021/22 hadi shilingi trilion 1.475 Mwaka wa Fedha 2023/24….