JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

e-GA -Tumieni mfumo wa e – Mrejesho kuwasilisha kero zenu serikalini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WANANCHI wametakiwa kutumia mfumo wa kupokea maoni, malalamiko au pongezi Serikalini (e-Mrejesho), ili kuwasilisha maoni yao na Serikali iweze kuyafanyia kazi kwa wakati. Wito huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict…

Dk Mpango ataka msukumo utolewe kwa vijiji, vitongoji visivyo na umeme

📌 Apongeza utayari wa Wizara ya Nishati kushughulikia changamoto zinazojitokeza 📌 Kapinga aagiza REA/ TANESCO kupeleka umeme Rugamba, Kigadye na Kiziba wilayani Buhigwe 📌 Aahidi umeme kufika kwenye maeneo yote yenye changamoto Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Makamu wa Rais,…

Tanzania mfano wa kuendeleza wachimbaji wadogo

Na Wizara ya Madini  Sekta ya Madini ni moja ya nguzo muhimu za uchumi wa Tanzania. Pamoja na mchango mkubwa unaotolewa na Migodi mikubwa inayomilikiwa na Kampuni za ndani na nje ya Taifa sambamba na zile za ubia baina ya…

Dkt Mpango: Msitumie magari ya serikali kwenda baa

 MAKAMU wa Rais Dkt.Philip Mpango amewaagiza wakuu wa wilaya za mkoa Kigoma kufuata maadili ya uongozi katika kutumia magari waliyokabidhiwa kwa kuleta tija katika kusikiliza kero za wananchi na kuzifanyia kazi badala ya kutumika magari hayo kwenda baa. DK Mpango…

Waziri Kairuki : Tunataka kuona TAFORI iliyoboreshwa

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) ametoa rai kwa Watumishi wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (Mb) kutimiza wajibu wao kuhakikisha Taasisi y Tunataka kuona TAFORI iliyoboreshwa inaboreka na hatimaye kuchangia katika…

Wafungwa/mahabusu zaidi ya 7,000 wanufaika na kampeni ya Mama Samia Legal Aid

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPENI ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid imeanza kuzunguka kwenye magereza mbalimbali nchini kuwapa msaada wa kisheria wafungwa na mahabusu na mpaka sasa imeshawahudumia zaidi ya 7,000. Hayo yamesemwa leo…