JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watu 71 wauawa baada ya shambulizi la Israel, Gaza

Kiongozi wa tawi la kijeshi la Hamas huko Gaza Mohammed Deif anaaminika kuwa miongoni mwa wahanga wa shambulizi la anga la Israel ambalo mamlaka ya afya inayoendeshwa na Hamas huko Gaza Kiongozi wa tawi la kijeshi la Hamas huko Gaza…

Viongozi wanne hatiani kwa ubadhirifu fedha za urasimishaji makazi

Mnamo tarehe 05/07/2024 imetolewa hukumu ya kesi ya Jinai namba CC.386 /2024 na Hakimu Mkazi Mwandamizi Gloria Nkwera, katika shauri lililoendeshwa na Mawakili Waandamizi wa Serikali – Veronica Chimwanda na Fatuma Waziri ambapo Ahmed Waziri Msika na wenzake watatu walitiwa…

Gavana Bwanku awashauri waganga wa jadi kujiepusha na ramli chonganishi

📍Bukoba, Kagera Aongozana na mwenyekiti wa Machifu Mkoa wa Kagera Chifu Nyarubamba, watendaji wa Kata, Polisi Afisa Tarafa wa Tarafa ya Katerero iliyoko Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Bwanku M Bwanku leo Jumamosi Julai 13, 2024 amefanya kikao na waganga…

RC Chalamila : Serikali itaweka utaratibu mzuri kwa wafanyabiashara Simu 2000

-Awakutanisha DART, Manispaa ya Ubungo na Wafanyabishara wadogo.-Aeleza dhamira ya Serikali kutekeleza mradi huo-Asisitiza bado Serikali itaendelea kujali na kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara wadogo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert…