Latest Posts
Mitaji changamoto ya vijana kwenye kilimo – Waziri Bashe
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati Serikali inapanga mikakati ya kuwasadia vijana katika kilimo, imeonekana changamoto kubwa ya vijana kuingia kwenye kilimo ni mitaji. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Kilimo Hussein Bashe alipokuwa akizungumza na Waandishi wa…
TANESCO kuanza kufanya maboresho ya Luku Pwani na Dar
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kutakuwa na maboresho huduma zake katika mfumo wa Luku kwa wateja wake wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani kuanza Julai 22, 2024 ili kuendana na mabadiliko ya…
PPRA yataja siri ya kupata tuzo ya mshindi wa kwanza katika kipengele cha mamlaka za udhibiti
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MENEJA Kanda ya Pwani kutoka Mamlaka ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA), Vicky Mollel amesema kuwa mamlaka hiyo ilitarajia ushindi kutokana na nguvu kubwa waliyoiweka katika kuhamasisha Umma. Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na…
UDOM yaibuka mshindi wa kwanza kipengele cha taasisi za elimu ya juu katika Sabasaba
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM), kimepata tuzo ya mshindi wa kwanza katika kipengele cha Taasisi za elimu ya juu katika maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (DITF) maarufu kama…
Katavi kuwa kanda ya ununuzi wa mazao
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Samia Hassan ameutangaza mkoa wa Katavi kuwa kanda maalum ya ununuzi wa mazao na uhifadhi wa nafaka ya chakula. Ametoa kauli mara baada ya kuzindua vihenge vya kisasa, na ghala za kuhifadhia…