Latest Posts
ATCL yaanzisha kampeni ya afya yako mtaji wako
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI ya ndege ya (ATCL), imeanzisha kampeni ya miezi mitatu iliyopewa jina la Afya yangu maisha yangi kwa lengo la kuhamasisha wananchi kujali afya zao. Kampeni hiyo imetangazwa leo na itamazilika mwezi Oktoba…
Babati DC haijakurupuka bali imejipanga na miradi yenye Viwango -Mnzava
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Babati Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Godfrey Eliakimu Mnzava amesema Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara haijakurupuka bali imejipanga kwa kuwa na miradi yenye viwango. Hayo amezungumza Julai 16, Mwaka huu wakati…
Matembezi ya utulivu rasmi kufanyika Julai 20
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi isiyo ya kiserikali ya ”Utulivu” kwa kushirikiana na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na michezo inatarajia kuendesha matembezi maalum ya Utulivu mwishoni mwa wiki hii. Akizungumza katika mkutano na wanahabari mapema leo hii…