JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kamati ya Maendeleo Bunge la Ulaya lafanya ziara nchini

Na Lookman Miraji Kamati ya maendeleo ya bunge la Ulaya limeanza ziara yake nchini hii leo, Februari 25. Ziara hiyo inafanyika nchini ikiwa na lengo la kuimarisha mahusiano kati ya Umoja wa Ulaya katika suala Zima la maendeleo endelevu. Kwa…

Serikali ya India yachangia dola bilioni 1 kusaidia upatikanaji maji Korogwe

Na Lookman Miraji Serikali ya India kupitia balozi wake nchini Bishwadip Dey imechangia Dola billioni 1.1 kusaidia upatikanaji wa maji katika miji 28. Mradi huo unaofadhiliwa na serikali ya India umelenga kusaidia upatikanaji wa maji safi ya kunywa kwa wakazi…

Ujenzi kituo cha kupoza umeme Handeni kuimarisha upatikanaji umeme – Rais Samia

📌 Kituo kugharimu shilingi bilioni 50 📌 Zaidi ya Shillingi billioni 98 kutekeleza mradi wa gridi imara Kilindi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema utekelezaji wa ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza…