JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bashe: Rais Samia hataki utani kilimo cha umwagiliaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe amewahakikishia Watanzania kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuleta mapinduzi sekta ya Umwagiliaji, hivyo miradi yote aliyoahidi itatekelezwa Waziri Bashe amesisitiza utekelezaji wa miradi hiyo unaofanywa na Tume ya…

Waziri Kairuki kushiriki mkutano wa 67 wa Mawaziri wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani Zambia

Na Mwandishi Wetu – Zambia Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) amewasili nchini Zambia leo Julai 21,2024 kwa ajili ya kushiriki mkutano wa 67 wa Mawaziri wa Utalii wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN…

Meli Vita ya Kichina ya matibabu yahudumu watu zaidi ya 5,000

Na WAF – Dar Es Salaam Melivita ya matibabu iitwayo ‘Peace Ark’ ya Jeshi la Ukombozi la watu wa China imetoa matibabu kwa wagonjwa zaidi ya elfu 5,000 kwa siku Tano baada ya kukita nanga katika bandari ya Dar Es…

Biden ajitoa kwenye kinyang’anyiro cha urais Marekani

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kusitisha kampeni za kuwania muhula wa pili wa urais na kusema amechukua uamuzi huo ”kwa maslahi ya chama chake na nchi.” Uamuzi wa Biden kujitoa kwenye mbio za urais umekuja ikiwa imesalia miezi minne…

Kailima : Wengi wajitokeza kuboresha, kujiandikisha Daftari la Kudumua la Wapigakura

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Zoezi la Uboreshaji la Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mikoa ya Kigoma, Katavi na Tabora limeingia siku ya pili baada ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa kulizindua…