JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

BASATA yamfungia Babu wa Tiktok

Msanii wa Muziki wa Taarabu Seif Kisauji β€˜Babu wa Tik tok’ afungiwa kufanya kazi za Sanaa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Miezi sita na kupigwa faini ya shilingi Milioni 3. Baraza la Sanaa la Taifa kupitia Sheria Na….

Ziara ya Dk Biteko Bukombe yawakosha wakazi

ZIARA YA DKT. BITEKO BUKOMBE YAWAKOSHA WAKAZI KATA NAMONGE πŸ“Œ Waipongeza Serikali ya Rais Samia kuboresha huduma za jamii πŸ“Œ Waomba kujengewa Barabara kusafirisha mazao πŸ“Œ Dkt. Biteko aagiza kukamilishwa, kutumika Zahanati Kijiji Ilyamchele πŸ“Œ Awahakikishia ukarabati wa Barabara ipitike…

NIDA : Vitambulisho vilivyofutika maandishi virejeshwe

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka wananchi wote ambao vitambulisho vyao vimepata hitilafu ya kufutika maandishi kuvirejesha katika ofisi za NIDA ama katika ofisi za Serikali za Mitaa, Kata, Vijiji na Shehia ambako vitakusanywa na kurejeshwa kwa ajili ya…

Samia kugharamia tiba mtoto aliyenusurika kuchinjwa

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amesema atalipia gharama zote za matibabu kwa mtoto aliyekatwa na kitu chenye ncha kali shingoni Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema mtoto huyo Maliki Hashimu (5) mkazi wa Goba mkoani Dar es Salaam anatibiwa katika…