Latest Posts
Mama mzazi wa Halima Mdee afariki
Mama Mzazi wa Mbunge Halima Mdee, Theresia Mdee, amefariki dunia leo Julai 30, 2024 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma alipokuwa akipatiwa matibabu. Mama Mdee alilazwa katika Hospitali hiyo mara kadhaa kwa matibabu ambapo mara ya mwisho kabla ya umauti…
Waziri Jerry Silaa atembelea TCRA Dar
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa leo ametembelea ofisi za Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zilizoko jijini Dar es Salaam. Amepokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabir Kuwe….
Serikali yaombwa kutambua mbegu asili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Mtandao wa Bayoanuai Tanzania umeomba serikali kufanya mabadiliko kwenye sheria ya Mbegu ya Mwaka 2003 na mabadiliko yake madogo ya Mwaka 2012 ili kuipa nafasi mbegu ya asili ya mkulima kutambulika na kuingizwa sokoni kama…
Hatua hii ya HESLB kutoa mafunzo ya Tehama ni ya kupongezwa
Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Dodoma Ukosefu wa ajira ni moja ya tatizo linaloikabili nchi yetu na kimsingi si Tanzania pekee bali na nchi nyingi duniani. Kutokana na tatizo hili, hatua madhubuti na stahiki zimekuwa zikichukuliwa na wadau wote muhimu…
Waziri Kijaji abainisha mikakati ya mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema imejipanga kujenga kituo cha kurejeleza taka za plastiki pamoja na kuhifadhi na kuchambua taka ngumu kwa ajili ya kutumika kama malighafi ya viwanda. Kituo hicho…
Zungu mgeni rasmi mahafali ya tisa Chuo cha Furahika
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano la Tanzania mbaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Azzan Zungu anatarawa kuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya Mahafali ya 9 Chuo cha Furahika Education…