JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Meli ya mizigo kutoka China yatia nanga bandari ya Tanga

Meli kubwa iliyobeba mizigo ya tani elfu 14 kutoka nchini China imetia nanga katika bandari ya Tanga Kwa mara ya kwanzaย  ikiwa na shehena za mizigo mbalimbali ikiwemo magari 300. Meli hiyo ya kampuni ya Seefront Shipping Service Ltd, imebeba…

Rais Samia kuzindua rasmi Reli ya mwendo kasi Dar-Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassani anatarajiwa kuzindua rasmi Reli ya mwendokasi(SGR)Agosti Mosi mwaka huu iliyoanza safari zake Julai 25 kutoka Dar Es Salaam hadi Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary…

Dk Biteko awakemea watumishi wanaokwamisha wafanyabiashara

๐Ÿ“Œ Azindua Sera ya Taifa ya Biashara ๐Ÿ“Œ Awataka Watanzania kujiandaa kushindana ๐Ÿ“Œ Norway yampongeza Rais Samia kuagiza marejeo mfumo wa kodi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….

ACT Wazalendo : Wimbi la uporaji na migogoro ya ardhi tunasimama na wananchi

Chama cha ACT Wazalendo kimetoa msimamo wa kuunga mkono na kuongoza mapambano ya wananchi katika kukabiliana na wimbi kubwa la uporaji wa ardhi nchini. Viongozi wa chama wamesikitishwa kukutana na kero ya migogoro, uporaji na operesheni za Serikali kuwaondoa wananchi…

Watanzania wanga’ara tuzo za kimataifa

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tuzo za Kimataifa za Heshima ambazo hutolewa kwa watu maalum kwa kutambua mchango ambao hutolewa na watu hao katika jamii husika zimefanyika nchini kwa mara kwanza mwaka huu. Tuzo hizo maarufu kama (I-CHANGE…