Latest Posts
Serikali yahitimisha kwa mafanikio zoezi la utoaji elimu ya fedha Mtwara
Na Chedaiwe Msuya, WF, Mtwara Serikali kupitia Wizara ya Fedha imehitimisha mafunzo ya elimu ya fedha Mkoani Mtwara ikiwa ni juhudi za kuimarisha uelewa wa masuala ya kifedha miongoni mwa wananchi. Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Ofisi…
Rais Dk. Mwinyi kushiriki uzinduzi wa SGR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi atashiriki Uzinduzi wa Usafiri wa Treni ya Umeme kwa kutumia Reli ya Kisasa (SGR). Uzinduzi wa mradi wa SGR utafanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Serikali kutatua mgogoro wa ardhi ngara
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imepokea malalamiko ya mgogoro wa ardhi kati ya wananchi na Jeshi la Magereza katika kijiji cha Rusumo Wilayani Ngara Mkoani Kagera. Akizungumza na wananchi wa kata ya Rusumo Wilayani Ngara Mkoani Kagera baada…
Wakili Mtatiro na Ally Kileo wataja sifa za Rais ajaye wa TLS
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKATI Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS, ukitarajiwa kufanyika kesho Ijumaa na kumpata Rais wa kukiongoza chama hicho miaka mitatu, wakili Julius Mtatiro na Ally Kileo wamewachambua kwa undani wagombea…
Ismail Haniyeh alikuwa nani?
Alizaliwa katika kambi ya wakimbizi huko Gaza mwaka 1963, Ismail Haniyeh alikuwa mwanachama muhimu wa Hamas tangu kuanzishwa kwake. Alifungwa na Israel mara kadhaa na wakati fulani alifukuzwa kwenda kuishi Lebanon kusini kwa miezi sita. Mnamo 2003, alinusurika jaribio la…
Kiongozi wa Hamas Ismail Haniyeh auawa
KIONGOZI wa kisiasa wa kundi la Hamas la Palestina Ismail Haniyeh ameuwa katika mji mkuu wa Iran, Tehran, vyombo vya Habari vya serikali ya Iran vimesema. Hamas imesema Haniyeh ameuawa katika shambulio la Israel kwenye makazi yake baada ya kuhudhuria…