Latest Posts
Haniyeh wa Hamas kuzikwa leo Qatar
Qatar leo inatarajiwa kufanya mazishi ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, baada ya mauaji yake huko Tehran, katika shambulizi linalodaiwa kufanywa na Israel, jambo lililosababisha hatari ya kuenea kwa machafuko. Haniyeh atazikwa katika maziara ya Lusail, kaskazini mwa Doha baada…
Aziz Ki abeba tuzo nne
Na Isri Mohamed Kiungo wa kimataifa wa Yanga, Stephanie Aziz Ki amebeba tuzo nne usiku wa kuamkia leo katika hafla ya ugawaji tuzo ya wanamichezo bora wa soka kwa msimu uilopita 2023/24 iliyoandaliwa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania…
Simba yamtambulisha Mlinda mlango mpya
Na Isri Mohamed Klabu ya Simba imemtambulisha mlinda lango wao mpya, Moussa Camara (25), Rais wa Guinea akitokea klabu ya AC Horoya ya nchini Guinea. Simba imesajili nyanda huyo kuchukua nafasi ya golikipa wao namba mopja, Ayoub Lakred, ambaye atakuwa…
Dk Biteko afunga maonesho ya Nanenane nyanja za juu Kusini
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Agosti 2, 2024 amezindua Sherehe za Maonesho ya Wakulima – Nane Nane Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na kutembelea mabanda mbalimbali ya maenesho katika katika Viwanja vya…