Latest Posts
Aliyemuua mkewe kwa kumchoma moto kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa kunyongwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa mfanyabiashara Khamis Luwonga baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa….
Tanzania, Malawi zasaini hati ya makubaliano katika afya na mkataba wa kuhamisha wafungwa
Tanzania na Malawi zimesaini hati ya makubaliano katika sekta ya afya na mkataba wa kuhamisha wafungwa , ikiwa ni hatua muhimu ya kuendelea kuimarisha ushirikiano kati ya mataifa haya mawili jirani. Makubaliano hayo yamesainiwa tarehe 26 Februari 2025 wakati wa…
Taarifa za awali za taadhari za maafa zitoke kwa wakati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi ameelekeza Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura kujiratibu vizuri katika kufikisha taarifa zote za taadhari ya maafa kwa wakati ili utekelezaji…
INEC yatangaza kuanza mchakato wa kugawa na kubadili majina ya majimbo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanza kwa mchakato wa kuchunguza na kugawa au kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi ambapo itapokea mapendekezo kuanzia tarehe 27 Februari, 2025 hadi tarehe 26 Machi, 2025….
Rais Samia abariki uwekezaji mkubwa wa shamba la miwa Pangani
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Pangani RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan, amebariki uwekezaji mkubwa wa Wizara ya Kilimo wa shamba la miwa wilayani Pangani mkoani Tanga. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Kumba Wilayani Pangani akiwa katika muendelezo wa…
Jukwaa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Dodoma lampongeza Rais Samia
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma JUKWAA la Uwezeshaji wanawake kiuchumi mkoa wa Dodoma limempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupitishwa na mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na kusema watamuunga mkono kufanikisha anapata miaka mingine mitano ya kuongoza…