JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

DASPA: Wakulima tumieni mbegu ya mtama aina ya TARUSOR1

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma WAKULIMA wa zao la Mtama wameshauriwa kutumia mbegu ya mtama aina ya TARISOR1 kwa kuwa mtama huo hauliwi na ndege kama ilivyo kwa mtama mwingine. Ushauri huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Wakulima…

Watanzania ikimbilieni VETA kupata ujuzi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Prof. Sifuni Mchome ametoa wito kwa Watanzania kwenda VETA kujifunza ili kuweza kupata ujuzi wa aina mbalimbali. Ameyasema hayo jana jijini Dodoma…

Rais wa Tunisia amfuta kazi waziri mkuu

Rais Kais Saied wa Tunisia amemfuta kazi waziri mkuu wake, Ahmed Hachani, bila kutoa maelezo yoyote na badala yake kumteuwa waziri wake wa masuala ya kijamii, Kamel Madouri, kuchukuwa wadhifa huo. Kupitia mitandao ya kijamii cha ofisi yake, Saied anaonekana…

Miradi mitano yenye thamani ya bilioni 7/- yabainika kuwa na kasoro Ruvuma – TAKUKURU

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Mkoa wa Ruvuma,katika kipindi cha miezi sita imefuatilia jumla ya miradi 31 yenye thamani ya Sh.bilioni 19,681,124,604.63 kati ya hiyo miradi mitano yenye thamani ya Sh.bilioni 7,053,240,916.51 imebainika…

Mwanariadha akabidhiwa bendera ya Taifa CRDB Marathon

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato SERIKALI imemkabidhi bendera ya taifa mwanariadha, Imelda Mfungo,ambaye ataiwakilisha nchi katika mashindano ya CRDB Marathon nchini Burundi. Mwanariadha huyo ambaye amepata fursa ya kushiriki mashindano hayo ambayo yameandaliwa kwa mara ya kwanza na Benki ya…

MOI yatoa ushauri kwa magonjwa ya mifupa, masuala ya lishe katika maonesho Nanenane

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeshiriki maonesho ya kitaifa ya Wakulima na Wafugaji (Nanenane) kwa kutoa elimu kwa magonjwa ya mifupa pamoja na masuala ya lishe. Akizungumza na waandishi wa habari…