JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Shirika la Islands of Peace Tanzania lawafikia zaidi ya Wakulima 3500

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma SHIRIKA lisilo la kiserikali la Islands of Peace Tanzania limesema kuwa mpaka sasa limeweza kuwafikia wakulima zaidi ya 3500 katika kuhamasisha na kughuhisha mifumo endelevu ya chakula kwa kutumia kilimo Ikolojia. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi…

TFNC yaitaka jamii kuacha dhana potofu kuhusu Virutubishi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam AFISA Utafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Francis Millinga ametoa wito kwa jamii kuacha dhana potofu kwamba Virutubishi vina madhara. Ameyasema hayo kwenye maonesho ya Wakulima na Wafugaji (Nanenane) ambayo…

TMA: Wananchi fatilieni taarifa za hali ya hewa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dkt. Ladislaus Chang’a ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kufatilia taarifa za hali ya hewa ili kuongeza tija katika shughuli zao. Aidha amesema kuwa Mamlaka…

TASAC kuhakikisha huduma za usafirishaji kwa njia ya maji zinakuwa bora Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limesema kuwa limejidhatiti kuhakikisha huduma za usafirishaji kwa njia ya maji zinatolewa kwa ubora, ufanisi na kwa…

Mkurugenzi Mkuu REA ahamasisha wananchi kutumia nishati safi ya kupikia

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amewaasa wananchi kutumia Nishati Safi ya Kupikia ili kuokoa gharama na muda, kulinda mazingira na afya zao hasa ikizingatiwa kuwa teknolojia sasa imeboreshwa na gharama yake ni ndogo ikilinganishwa…

Madaktari bingwa wa nyonga kutoa India kufanya upasuaji wa magoti na nyonga Dar

· Ni matunda ya ziara ya Rais Samia India · Wagonjwa nje ya nchi sasa kumiminika kutibiwa hospitali za Tanzania Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salam DAKTARI bingwa wa upasuaji wa magoti na nyonga kutoka hospitali maarufu diniani YASHODA…