Latest Posts
Balozi Nchimbi awasili Namibia msibani kwa Sam Nujoma
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili nchini Namibia, akiongoza ujumbe wa CCM kwenye mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa hilo, Dkt. Sam Shafiishuna Nujoma, yatakayofanyika tarehe 1 Machi,…
Hafla ya uzinduzi usambazaji mitungi ya gesi
Matukio mbalimbali wakati wa hafla ya uzinduzi wa usambazaji mitungi ya gesi ya kupikia na majiko banifu kwa bei ya ruzuku inayofanyika leo Februari 27, 2025 mkoani Tanga. Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt….
Lina PG Tour msimu wa pili yaanza kulindima leo, wachezaji 122 wajitokeza kushiriki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WACHEZAJI takribani 122 wamejiandikisha kushiriki mashindano ya Lina PG Tour msimu wa pili yanayoanza kutimua vumbi leo katika Viwanja vya gofu vya Gymkhana mkoani Morogoro. Mashindano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yalifanyika…
Trump aifutia kibali cha mafuta Venezuela
Kibali kilichoiruhusu kampuni kubwa ya mafuta ya Chevron Corp. kusafirisha mafuta ya Venezuela nchini Marekani kitasimamishwa wiki hii, hatua inayoukata uwezo wa kifedha wa taifa hilo la Amerika Kusini. Akitangaza uamuzi huo kupitia mtandao wake wa kijamii wa Truth Social…
Wanawake tunapopata fursa tusimame na tutende haki – Mkurugenzi Ununuzi Nishati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi wa Ununuzi Wizara ya Nishati, Bi. Marieta Kiago ametoa rai kwa Wanawake hususan vijana kuwa wanapopata nafasi za kufanyakazi kwenye maeneo na Taasisi mbalimbali kuhakikishawanasimama imara na kuitenda haki kwa wananchi. Bi….
TANROADS : Barabara ya Bagamoyo Mukurunge Pangani- Saadani ina kilomita 256 na Daraja la Mto Pangani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Mohamed Besta amesema barabara ya Bagamoyo Mukurunge Pangani- Saadani na Tanga iliyowekwa jiwe la msingi na Rais Samia Suluhu Hassan ina jumla wa kilomita 256 ikiwa ni pamoja na Daraja…