Latest Posts
Waziri Mhagama akabidhi ofisi kwa Waziri Lukuvi
Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Afya Jenista Mhagama ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi katika maeneo ambayo atahitaji kupata taarifa za ziada wakati wa kuratibu…
Ridhiwani Kikwete anogesha bonanza la NMB Day Kizimkazi Festival 2024
Na. Andrew Chale, JamhuriMesia, Zanzibar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwan Kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi ameweza kunogesha Bonanza la NMB DAY katika Tamasha la Kizimkazi 2024, linaloendelea katika maeneo ya…
Rais Samia azindua shule ya mil 800/- iliyojengwa Makunduchi na NMB
¹Na. Andrew Chale, JamhuiMedia, Zanzibar RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amekabidhiwa na kuizindua Skuli ya Maandalizi iliyopewa jina lake, iliyopo Kijiji cha Tasani, Makunduchi, Zanzibar, iliyojengwa na Benki ya NMB kwa gharama ya Sh….
Wakandarasi, REA fanyeni kazi kwa uadilifu na kukamilisha miradi kwa wakati – Dk Biteko
📌Awataka REA, wakandarasi kuwajibika utekelezaji wa miradi 📌Mkataba wa Shilingi bilioni 362 wasainiwa 📌 Vitongoji 3,060 kupelekewa umeme Wakandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati ya Nishati hususan miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu na…
Vijiji vitano vyalipwa bilioni 2 za mrabaha kutokana na uzalishaji dhahabu Nyamongo – Tarime
●Wilaya ya Tarime yanufaika na malipo ya Tsh 69bn kwa miaka mitatu ●Mavunde aipongeza kampuni Twiga Minerals kwa uwazi wa malipo ●Aelekeza malipo ya Mrabaha yakachochee maendeleo ya Vijiji husika ●Rais Dkt. Samia apongezwa kwa mazingira mazuri ya uwekezaji Na…
DK Nchemba aihakikishia Jumuya ya Kimataifa kuboresha mifumo ya kodi
Na Benny Mwaipaja, JamhuriMedia,Dar es Salaam Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameihakikishia Jumuiya ya Kimataifa na Watanzania kwa ujumla kwamba Serikali inaendelea kuweka na kuboresha mazingira ya uwekezaji ikiwemo kuboresha mifumo yake ya kodi. Dkt. Nchemba…