JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

500 kutoka asasi za kiraia kushiriki maadhimisho wiki ya AZAKI 2024 Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Washiriki zaidi ya 500 kutoka Asasi za Kiraia (AZAKI), Sekta Binafsi, Serikali na wadau mbalimbali wa maendeleo wanatarajiwa kushiriki maadhimisho ya Wiki ya AZAKI 2024, itakayofanyika kuanzia Septemba 9 hadi 13 Jijini Arusha….

REA : Tutaendelea kufanya tafiti za bidhaa za nishati safi za kupikia zinazosambazwa kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amesema Wakala utaendelea kufanya tafiti za bidhaa za Nishati Safi za Kupikia ili kubaini ufanisi wa teknolojia zinazosambazwa kwa wananchi. Mhandisi Saidy amesema hayo…

Askari endelezeni mazoezi ya karati – CP Hamad

Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Kamos Hamad amewataka askari wa Jeshi la Polisi kuendeleza mazoezi ya karate kwa lengo la kuongeza ukakamavu na kujiamini. Akipokea vifaa vya michezo kutoka Jumuiya ya Korea Friend of Hope huko Madungu, Wilaya ya…

Rais Samia ameibeba ajenda ya nishati safi ya kupikia kimataifa – Dk Biteko

📌 Ashiriki Kongamano la Nishati Safi ya kupikia Zanzibar 📌 Ahamasisha ubunifu katika teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia 📌 Apongeza ubunifu wa mita za kupimia gesi 📌 Wadau wahamasishwa kutoa elimu ya Nishati Safi ya Kupikia Imeelezwa kuwa, Rais…