JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Ndunguile ajinadi Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO

Mgombea nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile akijinadi mbele ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO leo Agosti 27, 2024 unaofanyika katika Jiji la Brazzaville nchini Congo. Dkt….

Dk Mpango awaomba NMB kueneza elimu ya bima kwa watumiaji vyombo vya moto

Mwandishi Wetu,Dodoma MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Philip Mpango ameisihi benki ya NMB kuwafikia watu wengi zaidi kwa ajili ya kuwapa elimu ya Bima hasa waendeshaji na watumiaji wa vyombo vya moto. Dk Mpango ametoa…

Majengo ya Serikali yazingatie hudua za dharura

Adeladius Makwega – Mwanza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini ndugu Methusela Ntonda amesema kuwa majengo yote ya serikali ambayo yanajengwa na yatakaliwa na watu wengi kama vile mabweni yanatakiwa kuzingatia kuwekwa huduma za dharula kwani…

Katambi: Serikali itaendelea kuongeza kasi kutatua migogoro ya kazi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye ulemavu) Patrobas Katambi amesema serikali itaendelea kuongeza kasi ya kutatua migogoro, kusogeza huduma karibu na wafanyakazi na waajiri kupitia Tume inayotembea yaani…

Wafungua kesi kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi Serikali za Mtaa

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi watatu wamefungua kesi Mahakama Kuu Masijala ya Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga Wizara ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kusimamia…

Nakubaliana na Mbowe, iundweTume kuchunguza mauaji

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, alitoa hoja ya kutaka Serikali iunde Tume ya Kuchunguza mauaji na utekaji nchini. Hoja hii ameitoa baada ya Rais wa Chama cha…