JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Aliyepatikana na mafuvu ya vichwa vya binadamu Uganda kushtakiwa

Mwanamume mmoja raia wa Uganda anayedaiwa kupatikana na mafuvu 24 ya vichwa vya binadamu huenda alikuwa akiyatumia kutoa kafara ya binadamu na anaweza kufungwa jela maisha, polisi wameiambia BBC. Msemaji wa polisi Patrick Onyango alisema mshukiwa, Ddamulira Godfrey, atafunguliwa mashtaka…

Rais Dk Samia azindua ndege za mafunzo ya awali kwa marubani JWTZ

            Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Viongozi wengine katika hafla fupi ya uzinduzi na kukabidhi ndege za mafunzo ya awali ya Marubani na mabasi ya usafirishaji kwa…

UWT Kibaha Mjini yamuunga mkono Rais Samia mapinduzi nishati safi

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Kibaha JUMUIYA ya Wanawake (UWT)Kibaha Mjini, Mkoani Pwani, imetoa wito kwa wanawake kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo na kuboresha huduma za kijamii, huku ikisifu juhudi zake za kuleta mapinduzi kwenye sekta…

Dk Ndugulile achaguliwa Mkurugenzi wa WHO Afrika

Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Mkurugenzi kikanda wa Afrika katika Shirika la Afya Duniani (WHO). Dk Ndugulile, mtaalam wa afya ya umma ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Salaam alikuwa mmoja wa wagombea watano waliojitokeza…

Wafugaji Pwani waitikia wito ufugaji kisasa

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Pwani Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amewapongeza wafugaji wa Kijiji cha Mpelumbe, Kata ya Gwata, Walayani Kibaha, mkoani Pwani kwa kujitolea kujenga bwawa la kunyweshea mifugo yao. Waziri Ulega ametoa pongezi hizo hivi karibuni…