Latest Posts
Tista watangaza matokeo ya somo la elimu ya dini ya kiislamu
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Tanzania Islamic Studies Teaching Association wameipongeza Serikali na wadau kwa kuboresha mitahala ya masomo ya dini ya kiislamu na kuongeza ufaulu. Akizungumza kwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari, Makamu Mwenyekiti…
Tanzania yajipanga kutumia nishati ya nyuklia kuzalisha umeme – Dk Biteko
Dkt. Biteko atangaza msimamo katika Mkutano wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia Asema mashapo 58,500 ya urani kutumika kama chanzo cha uzalishaji Marekani kuendeleza ushirikiano na Afrika matumizi Nishati ya Nyuklia Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…
Elimu matumizi bora ya ardhi kupunguza migongano baina ya binadamu na wanyamapori
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dodoma Mpango wa matumizi bora ya ardhi vijijini ulirasimishwa miaka ya hivi karibuni ikiwa ni moja ya mikakati katika mchakato wa kuleta maendeleo endelevu. Utekelezaji wa mpango huu hauna budi kuwa mikononi mwa wanavijiji wenyewe kwa…
Mwanzilishi wa mtandao wa Telegram kufikishwa mahakamani
Mwanzilishi wa mtandao wa Telegram Pavel Durov, amepelekwa mahakamani mjini Paris ambapo anaweza kufunguliwa mashtaka rasmi, baada ya muda wa kwanza wa kukamatwa na kuhojiwa kumalizika. Mwanzilishi wa mtandao wa Telegram Pavel Durov, amepelekwa mahakamani mjini Paris ambapo anaweza kufunguliwa…
Aliyepatikana na mafuvu ya vichwa vya binadamu Uganda kushtakiwa
Mwanamume mmoja raia wa Uganda anayedaiwa kupatikana na mafuvu 24 ya vichwa vya binadamu huenda alikuwa akiyatumia kutoa kafara ya binadamu na anaweza kufungwa jela maisha, polisi wameiambia BBC. Msemaji wa polisi Patrick Onyango alisema mshukiwa, Ddamulira Godfrey, atafunguliwa mashtaka…