Latest Posts
Mfumuko wa bei waongezeka Kenya
Mfumuko wa bei wa kila mwaka nchini Kenya (KECPI=ECI), unafungua orodha mpya ya ongezeko kwa mwezi wa nne mfululizo hadi 3.5% mwezi Februari kutoka 3.3% mwezi Januari, ofisi ya takwimu ilisema Ijumaa. Mfumuko wa bei wa kimsingi ulisalia kwa 2.0%…
Mkutano wa JPCC wazaa matunda, Waziri Kombo arejea makubaliano muhimu
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amerejea nchini baada ya kushiriki Mkutano wa Sita wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (JPCC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na…
Kanyankole : Punguzo kwa abiria linagharamiwa kikamilifu na Bolt
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUKWAA linaloongoza katika huduma za usafiri wa mtandaoni, linathibitisha rasmi kwamba punguzo linalotolewa kwa abiria linagharamiwa kikamilifu na Bolt. Taarifa hiyo inakuja wakati ambapo kuna dhana potofu kuhusu punguzo la safari zinazotolewa kwa…
Urusi na Ukraine zaendelea kushambuliana
Mashambulizi ya makombora na droni yamesababisha vifo vya watu watatu katika eneo linalokaliwa na Urusi katika mkoa wa Kherson. Shirika la habari la Urusi RIA limesema watu hao ni mwanamke na mtoto mmoja ambao waliuawa baada ya gari la wagonjwa kushambuliwa…
Mzozo wa Ukraine; Viongozi wa Ulaya wafanya ziara Marekani
Viongozi mbalimbali wa Ulaya wamefanya ziara nchini Marekani wiki hii ili kujaribu kuutafutia suluhu mzozo kati ya Urusi na Ukraine ambazo zimeendelea kushambuliana vikali. Baada ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, jana ilikuwa zamu ya Waziri Mkuu wa Uingereza Keir…