Latest Posts
Dk Mpango aipa heko TANROADS, aweka jiwe la msingi kiwanja cha ndege
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. Philip Mpango ameweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi na upanuzi wa Kiwanja cha ndege Tabora na kuipongeza Wizara ya Ujenzi wa kazi wanayoifanya katika mradi huo. Akizungumza leo…
WWF yawafunda waandishi wa habari juu ya mkataba wa CITES
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Pwani Shirika la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori (WWF) ,limewataka Waandishi wa habari Bara na Visiwani ,kutumia kalamu zao kutoa elimu kwa jamii juu ya mkataba wa Kimataifa wa Biashara ya Wanyamapori, Mimea iliyo hatarini kutoweka…
Rais Samia apongezwa mageuzi makubwa sekta ya afya
π Serikali Yawapongeza Wanaradiografia kwa Mchango wao kwa Jamii π Uwekezaji katika Sekta ya Afya Waokoa Fedha π Tanzania Nchi ya Nne Afrika kuwa na PET SCAN Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu…
Wananchi wakubali yaishe, bangi kubaki historia Tarime
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tarime Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama ikiwemo jeshi la polisi, jeshi la akiba pamoja na wananchi imefanya operesheni kubwa ya kihistoria kwa muda wa…
Wadau wa madini wahamasishwa kutumia Maabara ya Tume ya Madini
Katika Maonesho ya Madini Geitaβ¦ Mashine ya XRF ndio mpango mzima HViongozi na wananchi wamiminika kupima madini yao Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Gita VIONGOZI na wananchi mbali mbali wameendelea kujitokeza kupata elimu kuhusu madini yaliyopo katika miamba na namna ya…