Latest Posts
Mkurugenzi aeleza jinsi wizara inavyotoa fursa kwa wanawake
Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini Wizara ya Nishati, Bi. Anita Ishengoma amesema katika utekelezaji wa majukumu ya kisekta Wizara ya Nishati imetoa fursa za usawa kwa wanawake. Bi. Ishengoma ameyasema hayo katika kuelekea kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani…
Tanzania, Oman kuimarisha ushirikiano kidiplomasia
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Oman ambao umedumu kwa zaidi ya miaka 44 ni wa kihistoria…
Mradi wa Tanzania ya kidijitali wafikia asilimia 80
Na Happy Lazaro,JamhuriMedia, Arusha SERIKALI imesema mradi wa Tanzania ya Kidijitali unaofadhiliwa na. Benki ya Dunia umefikia asilimia 80 ya utekelezaji 1wake, lengo likiwa ni kuweka mazingira wezeshi, kutoa huduma bora na miundombinu wezeshi kwa wananchi ili wanufaike na mradi…
Wathaminishaji madini wajengewa uwezo
Watakiwa kuwa waadilifu Wathaminishaji wa madini wametakiwa kuwa waadilifu na kutumia taaluma yao vizuri ili kuepuka makosa madogo madogo Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimaliwatu na Utawala wa Tume ya Madini, Nsajigwa Kabigi wakati akifungua kikao cha wathaminishaji…