JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Jafo atembelea CBE na kutoa maagizo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo salaam amekitaka Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kuwekeza katika ufundishaji wa programu za biashara ya elektroniki zitakazowawezesha vijana kufanya biashara kimataifa. Alitoa rai hiyo…

Naibu Katibu Mkuu CCM aanza ziara Shinyanga

Naibu Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga mara baada ya kuwasili mkoani hapo kwa ziara ya chama ya siku saba leo, tarehe 6 Septemba 2024….

Waziri Mkuu atoa maelekezo uendeshaji mradi wa SGR

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Uchukuzi iendelee kulisimamia kwa karibu Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kuhakikisha huduma za treni ya SGR zinaboreshwa na miundombinu inaimarishwa ili mradi huo uweze kudumu kwa muda mrefu. Amesema katika mwaka wa fedha 2024/2025,…

Mradi mkubwa wa maji ziwa Victoria kuinusuru Biharamulo

Na Daniel Limbe,JamhuriMedia, Biharamulo Katika kukabiliana na adha kubwa ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa wakazi wa wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera,serikali imetenga zaidi ya bilioni 77 kwaajili ya kutekeleza mradi mkubwa wa usambazaji maji kutoka ziwa Viktoria….

Rais Samia ampandisha cheo afisa wa Polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura akimvisha cheo cha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Dora Kiteleki, leo Septemba 6,2024.  IGP Wambura amemvisha cheo hicho baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano…