Latest Posts
Rais Samia mgeni rasmi Tamasha la Utamaduni Songea
Rais Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Tatu la Utamaduni ambalo litafanyika kwa siku nne kuanzia Septemba 20 hadi 23, 2024 wilayani Songea Mkoani Ruvuma. Akizungumza katika mkutano wake na waandishi wa habari Jijini Dodoma…
Watahiniwa 1,230,780 wafanya mtihani wa darasa la saba leo
Na Mwandishi Wetu, JahuriMedia Dar es Salaam Katibu mtendaji wa baraza hilo, Said Mohamed amesema watahiniwa 1,230,780 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya Msingi(PSLE) kesho Jumatano Septemba 11, 2024 huku Baraza la Mtihani Tanzania(NECTA) likiwatahadharisha kuwafutia matokeo watakaobanika kufanya…
Simbachawane ateta na Jakaya Kikwete
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene leo amemtembelea na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya M. Kikwete nyumbani kwake Kawe Jijini Dar es…
Watoto 23 wafanyiwa upasuaji wa moyo JKCI
Na Stela Gama – JKCI Watoto 23 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo katika kambi maalumu ya matibabu ya moyo kwa watoto inayofanyika katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Kambi hiyo maalumu…
Ugonjwa wa miguu na midomo unaoshambulia mifugo kutovuka mipaka ya nchi za EAC na SADC
Mwakilishi kutoka Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) nchini Tanzania, Bi. Nyabenyi Tipo akielezea takwimu ya Mwaka 2013 ambapo ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo umekuwa na madhara makubwa ya kiuchumi na kusababisha hasara…
Dk Biteko amfariji Angelah Kairuki
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Septemba 10, 2024, amesaini Kitabu cha Maombolezo kwenye msiba wa Mzee Peter Orgones Mkwizu, Baba wa Mhe. Angelah Kairuki, Mbunge wa Viti Maalum na Mshauri wa Rais. Dkt….