Latest Posts
Shirikisho la Umoja wa Machinga nchini kufanya mabadiliko ya katiba
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia -Dar es Salaam Shirikisho la Umoja wa Wamachinga Tanzania (SHIUMA) limenuia kufanya mabadiliko ya Katiba katika mikoa yote nchini ili kuweza kuondoa mapungufu mengi yaliyomo kwani imesababisha baadhi ya Vyama vya Wamachinga kushindwa kujiunga na Shirikisho…
Wizara ya Fedha yakemea nyonya damu, Watanzania watakiwa kulinda fedha zao
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WIZARA ya fedha imetoa rai kwa Watanzania hususan makundi ya akinamama na wajasiriamali kujiepusha na mikopo ya udhalilishaji isiyo rasmi na badala yake watumie Taasisi zilizosajiliwa na kutambulika ili kulinda fedha zao. Aidha imekemea Taasisi…
Bashe: Mpina uwe na shukrani kwa Serikali, chezea sekta nyingine si kilimo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Igunga Waziri wa Kilimo Husein Bashe (Mb) amemtumia salamu mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina kuwa awe na shukrani kwa Serikali achezee sekta nyingine sio kilimo ambayo ni tegemeo kwa Taifa. Amesema chokochoko za uongo za mbunge…
Jafo aipa tano TPA uboreshaji miundombinu ya kutolea huduma katika bandari zake
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo (Mb) ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kuboresha miundombinu ya kutolea huduma katika Bandari zake hali iliyoongeza kasi na ubora wa kuhudumia meli na…
TPA, WMA watakiwa kusimamia kikamilifu ‘Flow Meter’
Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo ameitaka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) kuhakikisha wanasimamia kikamilifu ‘Flow Meter’ inayotumika kupima kiwango cha mafuta yanayoingia nchini ili Serikali…
Waziri Aweso amtumbua mkurugenzi ‘mlevi’ Chato
Na Isri Mohamed Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, ametengua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Chato (CHAWASSA), Mhandisi Mari Misango, kwa tuhuma za utovu wa nidhamu kazini. Waziri Aweso ametoa uamuzi huo akiwa kwenye…