Latest Posts
RT yafanya marekebisho ya usimamizi wa mchezo wa riadha nchini
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mwanza Mkutano maalumu wa marekebisho ya katiba ya Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) umefanyika jijini Mwanza kwa kuhusisha wadau mbalimbali wa michezo na viongozi wa Riadha kutoka mikoa zaidi ya 20 ya Tanzania Bara. Lengo kuu…
Mkuu wa Majeshi awavisha nishani maafisa wa JWTZ Kanda ya Songea
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan amewavisha nishani mbalimbali, Maafisa na Askari wa JWTZ Kanda ya Songea. Miongoni mwa waliovishwa…
DC Mwanga : Wanawake wanapaswa kujiamini na kuitumikia jamii kwa haki
Na Ashrack Miraji JumhuriMedia, Mwanga Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Mwanahamis Munkunda, amewataka wanawake, hususan vijana, kutumia nafasi wanazozipata kwenye taasisi mbalimbali kwa kujituma na kutoa huduma bora kwa wananchi. Akizungumza katika maandalizi ya Siku ya Wanawake Duniani, ambayo kitaifa…
Mndolwa: Serikali ya Awamu ya Sita imewekeza Trilioni 1.2 katika sekta ya umwagiliaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMwdia, Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi trilioni 1.2 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya umwagiliaji nchini. Lengo ni kuboresha kilimo nchini,…