JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Makonda ahimiza wananchi kujiandikisha kushiriki uchaguzi Serikali za Mitaa

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda amewahimiza wakazi wa Mkoa wa Arusha kuendelea kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la Mkazi ili kuweza kupata sifa za kushikiri kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika baadae Novemba 27…

DC Magoti atoa saa 24 kwa watuhumiwa wa utoroshaji korosho kilo 600, wajisalimishe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mkoani Pwani, Petro Magoti ametoa saa 24 kwa watu wanaodaiwa kukimbia na kuacha pikipiki wakiwa wanatorosha korosho kilo 600 kutoka Kisarawe wakielekea…

Kapinga ahamasisha wananchi Mbinga kujisajili Daftari la Wapiga Kura

📌 Awaasa kuchagua viongozi watakaowatumikia kwa weledi Naibu Waziri Nishati na Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa, Mhe. Judith Kapinga amewahamasisha wananchi katika Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la…

Nigeria watelekezwa airport, wagoma kucheza dhidi ya Libya

Na Isri Mohamed Katika hali ya kushangaza timu ya taifa ya Nigeria imeamua kurejea nchini kwao bila kucheza mchezo wao wa kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Libya, baada ya kufanyiwa vitendo ambavyo wamevitafsiri ni hujuma kutoka kwa wenyeji wao Libya….

Rais Samia anunua tiketi 2000 za mashabiki wa Stars

Na Isri Mohamed Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amelipia tiketi 20,000 kwa ajili ya mashabiki wa Timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kuingia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuishangilia timu hiyo kwenye…