JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndumbaro azungumzia umuhimu wa Tamasha Utamaduni mkoani Ruvuma

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMesia, Songea Waziri wa Utamaduni, Michezo na Sanaa Dkt. Damas Ndumbaro, amesema kuwa kuna umuhimu mkubwa wa kuonesha utamaduni wa Taifa letu , kuimarisha umoja na kujivunia urithi wetu wa kitamaduni. Hayo yamebainika jana wakati akizungumza na…

Bashe aridhishwa na kazi nzuri iliyofanywa na ASA

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) ameridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) kufuatia ziara yake ya ukaguzi wa shamba la mbegu tarehe 16 Septemba 2024 lililopo Undomo, Wilaya ya Nzega. Shamba hilo lina ukubwa…

Dk Kijaji: Tanzania yazuia tani 216 za kemikali hatari kwa tabaka la ozoni

Na Mwandishi Wetu, JamhurMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema Tanzania imefanikiwa kuzuia tani 216 sawa na asilimia 86 ya uzalishaji wa kemikali hatari kwa tabaka la…

Mashindano ya kuogelea kitaifa yafana Dar

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mashindano ya kitaifa ya wazi kwa mchezo wa kuogelea yamehitimika rasmi kwa kishindo Jumapili ya Septemba 15, 2024 katika bwawa la shule ya kimataifa ya Tanganyika iliyoko mlMasaki, Dar es Salaam. Mashindano hayo…

Mabweni ya kuchukua wanafunzi 12,000 kujengwa kwa ubia Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia wa Sekta za Umma na Binafsi (PPP) wanatatarajia kujenga mabweni ya wanafunzi kwa ubia utakaogharimu Sh bilioni 20.7. Hayo yalisemwa mwishoni…