Latest Posts
Kero ya ombaomba wa London
Kwa asili nachukia kuomba bila sababu na nilijengewa tabia hiyo na wazazi waliotumia vyema nguvu zao kujitegemea na kututegemeza.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
Washington: Utumwa unanik
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Waislamu wenye akili hawa hapa
Siku kadhaa zilizopita nilikuwa miongoni mwa wale tuliotoa wito kwa wapendwa ndugu zetu Waislamu, kuwapuuza kina Sheikh Ponda na mwenzake Kundecha – ambao kila mara wamekuwa vinara wa migogoro na kuibua mambo yasiyo na tija kwa Waislamu na Watanzania.
Agizo alilotoa RC Tabora kwa ‘mchwa’ hawa watalitekeleza?
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa, amezitaka Halmashauri za Wilaya mkoani humo kuhakikisha hazipati hati chafu za ukaguzi wa fedha za serikali, vinginevyo wakurugenzi watendaji na watumishi katika ngazi hizo wasioweza kutekeleza agizo hilo waache kazi.
Habari mpya
- ‘Serikali Zanzibar inawalea watoto wanaotupwa au kutelekezwa ili kupata haki zao’
- Bilioni 13.46 kuleta mageuzi ya kilimo cha umwagiliaji Mangalali
- CCM yaonya wanaomwaga pesa kusaka udiwani, ubunge
- Bandari ya Dar yapewa hongera
- Hakutakuwa na kuvunjika kwa amani Dar es Salaam – Chalamila
- Serikali kuondoa kilio cha mafuriko Jangwani
- Wastafu soko la Kariakoo kulipwa milioni 306
- Tutazuia mazao ya Afrika Kusini, Malawi – Serikali
- Dk Biteko ashiriki mkutano wa EAPP nchino Uganda
- Madiwani Kibondo waridhia utekelezaji mradi wa umwagiliaji Lumpungu
- Polisi yapiga ‘stop’ mikusanyiko Kisutu Lissu atakapofikishwa mahakamani
- Wasira ampa majibu mfuasi CHADEMA aliyeomba CCM, Serikali imsamehe Lissu
- Tanzania yachangia bil.1.6/- kongamano la eLearning Africa
- RC Makonda aipongeza timu ya ‘Safari Field Challenge’
- Watu 50 wapoteza maisha DR Congo