Latest Posts
Rais Samia anaamini katika ushirikiano na viongozi wa dini -Dk Biteko
📌Atoa pole kwa Familia, KKKT kifo cha Askofu Sendoro 📌Kanisa Lashauriwa Kumuenzi Askofu Sendoro kwa Vitendo 📌 Waumini Waaswa Kuishi Maisha ya Kumpendeza Mungu Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…
Watumia sherehe za ubatizo kukeketa watoto, Serikali yaonya
Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia,Longido Baadhi ya familia za Jamii ya kimasai wilaya ya Longido mkoa Arusha,zinadaiwa kutumia sherehe za ubatizo kukeketa watoto wadogo ili kukwepa kukamatwa na kufikishwa mahakamani. Watoto wengi wadogo chini ya miaka miwili wamebainika kufanyiwa ukatili wa…
Ndumbaro azungumzia umuhimu wa Tamasha Utamaduni mkoani Ruvuma
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMesia, Songea Waziri wa Utamaduni, Michezo na Sanaa Dkt. Damas Ndumbaro, amesema kuwa kuna umuhimu mkubwa wa kuonesha utamaduni wa Taifa letu , kuimarisha umoja na kujivunia urithi wetu wa kitamaduni. Hayo yamebainika jana wakati akizungumza na…