Latest Posts
Ardhi ya Tanzania inavyoporwa na matajiri matapeli
*Kambi ya Upinzani yaanika bungeni uozo wa kutisha
*Familia ya Chavda yavuna mabilioni na kutokomea
Hii ni sehemu ya hotuba ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee, aliyoitoa bungeni wiki iliyopita, akieleza namna ardhi ya Tanzania inavyohodhiwa na wafanyabiashara na matajiri matapeli…
MASHAMBA YALIYOBINAFSISHWA AMBAYO HAYAJAENDELEZWA
Mheshimiwa Spika, wakati akihitimisha bajeti ya ardhi mwaka jana, Waziri wa Ardhi aliliahidi Bunge lako Tukufu kwamba baada ya Bunge la bajeti wizara ingekwenda kufanya ukaguzi huru wa nani ametelekeza mashamba. Alisisitiza kwamba wawekezaji wote waliotelekeza mashamba “the honeymoon is over.”
‘Majaji ndiyo waliomtuma Lissu’
Hotuba kali ya Tundu Lissu ya kukosoa uteuzi wa majaji dhaifu uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, imeelezwa kwamba ina baraka zote za baadhi ya viongozi waandamizi wa Mhimili wa Mahakama, JAMHURI limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
Tuwe makini kulinda ardhi yetu
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, jana aliwasilisha bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo ya mwaka 2012/2013.
Habari mpya
- ‘Serikali Zanzibar inawalea watoto wanaotupwa au kutelekezwa ili kupata haki zao’
- Bilioni 13.46 kuleta mageuzi ya kilimo cha umwagiliaji Mangalali
- CCM yaonya wanaomwaga pesa kusaka udiwani, ubunge
- Bandari ya Dar yapewa hongera
- Hakutakuwa na kuvunjika kwa amani Dar es Salaam – Chalamila
- Serikali kuondoa kilio cha mafuriko Jangwani
- Wastafu soko la Kariakoo kulipwa milioni 306
- Tutazuia mazao ya Afrika Kusini, Malawi – Serikali
- Dk Biteko ashiriki mkutano wa EAPP nchino Uganda
- Madiwani Kibondo waridhia utekelezaji mradi wa umwagiliaji Lumpungu
- Polisi yapiga ‘stop’ mikusanyiko Kisutu Lissu atakapofikishwa mahakamani
- Wasira ampa majibu mfuasi CHADEMA aliyeomba CCM, Serikali imsamehe Lissu
- Tanzania yachangia bil.1.6/- kongamano la eLearning Africa
- RC Makonda aipongeza timu ya ‘Safari Field Challenge’
- Watu 50 wapoteza maisha DR Congo
Copyright 2024