Latest Posts
Siku Ngeleja alipowavaa Mbowe, Zitto
Wiki iliyopita, Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), aliikosoa bajeti ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na kusema kuandaa bajeti ya nchi si sawa na kuandaa bajeti ya harusi.
Katibu Mkuu Nishati amwagiwa sifa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, amemwagiwa sifa kwa jinsi alivyowabana watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kufanikisha upatikanaji wa mita 85,000 za umeme.
Mkaa ni janga la kitaifa
Nimemsikia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, aliihoji Serikali ili ieleze mipango ya haraka ya kuokoa theluji katika Mlima Kilimanjaro.
‘Turejeshe Ujamaa, ubepari tumeshindwa’
Mkutano wa Nane wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma, umekuwa na michango mingi na yenye mvuto kutoka kwa wabunge mbalimbali. Ifuatayo ni sehemu ya michango hiyo.
Ukuaji wa deni la taifa udhibitiwe
Miaka mitatu iliyopita, deni la taifa lilikuwa Sh trilioni tano hivi, lakini mwaka huu wa 2012 deni hilo limepanda hadi kufikia zaidi ya Sh trilioni 20.
Waislamu wapuuzeni kina Ponda
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetangaza rasmi kutoshiriki sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti, mwaka huu.