Latest Posts
TAEC kuwa mlezi wa programu maalum ya diploma masomo ya teknolojia ya nyuklia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Prof. Najat Kassim Mohammed amesema taasisi hiyo itakuwa mlezi wa programu maalumu ya diploma ya masomo ya teknolojia ya nyuklia itakayoanzishwa na chuo cha ufundi…
Lukuvi : Rais Samia hana deni huduma ya maji Ubungo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi ametembelea Mradi wa Maji Mshikamano uliopo Kata ya Mbezi, Wilaya ya Ubungo katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo…
Mashindano ya kuogelea Afrika kufanyika Z’bar
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar Salaam Chama cha Mchezo wa Kuogelea Africa (Africa aquatics) kwa kushirikiana na mchezo wa kuogelea nchini vitaendesha mashindano ya wazi kwa mchezo wa kuogelea yanayotarajiwa kufanyioa visiwani Zanzibar. Mashindano hayo yanafanyika kwa mara ya kwanza…
Waziri Bashe awataka wakulima, wafugaji kuishi kwa amani
đź“ŚNIRC,Songea Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewaasa wafugaji wa jamii ya Wasukuma wanaoishi katika kata ya Ndalila Wilayani Songea, kuhakikisha kuwa wanaishi kwa amani na wakulima wa jamii zingine wilayani humo “Nimewaletea salamu kutoka kwa rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…
Matumizi ya TEHAMA mahakamani yamesaidia kupunguza mrundikano wa mashauri – Prof. Gabriel
Na Mary Gwera, Mahakama-Dodoma Matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ndani ya Mahakama ya Tanzania yametajwa kuleta manufaa lukuki ndani ya Mhimili huo ikiwa ni pamoja na kupunguza mlundikano wa mashauri. Hayo yamebainishwa leo tarehe 18 Septemba, 2024…
Makonda abaini upotevu wa bil 1.3/- sekondari ya wasichana Longido
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amebaini upotevu wa fedha zaidi ya Sh bilioni 1. 3 katika shule ya Sekondari ya Wasichana Longido iliyopo wilayani Longido. Fedha hizo zimepotea kutokana na ulipaji wa malipo…