Latest Posts
Hodari wa uchumi wa Afrika- Rais Samia Suluhu Hassan
🇹🇿 Tanzania:Inavyoongoza Katika Kupambana na Umaskini Afrika! Tunapoadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Umaskini (Oktoba 17), Tanzania inajitokeza kuwa kielelezo cha matumaini na maendeleo. Kwa mujibu wa takwimu za Afrobarometer, asilimia 51 ya Watanzania wanaamini kuwa serikali yao inafanya kazi…
Asasi za kiafya zaadhimisha mwezi wa saratani
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi isiyo ya kiserikali ya Shujaa Cancer Foundation kwa kushirikiana na ubalozi wa Sweden nchini pamoja na Wizara ya Afya kwa pamoja wameungana kuadhimisha mwezi wa uhamasishwaji wa saratani ya matiti. Maadhimisho hayo…
Ajali yaua watu 14 katika daraja la Kikafu Kilimanjaro
Watu 14 wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa katika ajali mbaya iliyotokea usiku wa kuamkia leo, katika daraja la Kikafu. Ajali hiyo ilihusisha lori na basi dogo la kubeba abiria (Coaster) lililokuwa likielekea Arusha kutoka Moshi. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,…
Nyumba ya Netanyahu yapigwa katika jaribio la kumua
Katika tukio la kutisha na la kuthubutu, kundi la Hezbollah limefanya shambulizi la ndege isiyo na rubani (drone) likilenga nyumba ya Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, iliyoko mji wa kaskazini wa Caesarea leo, Oktoba 19, 2024. Shambulizi hilo lilikuja…
RC Kunenge – Tuitumie siku moja iliyosalia kujiandikisha
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, ameeleza zoezi la uandikishaji kwenye daftari la wapiga kura mkoani humo linaendelea vizuri, zoezi ambalo lilianza rasmi oktoba 11 na litakamilika Oktoba 20 mwaka huu. Aidha amewataka…
Rais Mwinyi azishauri taasisi za elimu ya juu kuanzisha kozi zinazochangia maendeleo nchini
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amezishauri Taasisi za Elimu ya juu ziliopo nchini kuanzisha Kozi muhimu zenye uhitaji na uhaba wa Wataalamu zitakazochangia maendeleo ya nchi. Rais Dk. Mwinyi…