JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Nyangwine: Sijaitelekeza Tarime

*Ajivunia maendeleo aliyowezesha

Mbunge wa Tarime mkoani Mara, Nyambari Nyangwine (CCM), ameibuka na kukanusha tuhuma za kutelekeza jimbo hilo kwa zaidi ya miezi sita mfululizo.

Usalama wa Taifa, TPA, Polisi, TRA wawajibishwe

Vyombo vya dola nchini, kwa mara nyingine vimeiaibisha nchi yetu kimataifa kwa kushindwa kudhibiti uvushaji wa shehena haramu ya meno ya tembo (ndovu) kwenda Dubai na hatimaye Hong Kong.

Na sisi tuchague makamishna wa polisi

ALHAMISI ya wiki iliyopita shule za msingi zilifungwa, watoto wakabaki majumbani na wazazi wao. Kwenye shule zao na katika vituo vingine mbalimbali, kulikuwa na kazi kubwa ya kisasa ya kuchagua makamishna wa polisi na uhalifu.

Yah: Naikumbuka TBC ya kweli

 

Wanangu, naamini hamjambo baada ya kupumzika nyumbani na kutafakari maisha yenu ya miaka ijayo na hatima ya kizazi chenu cha dotcom. Sina hakika miaka michache ijayo baada ya dotcom kuzeeka, sijui kutakuwa na kizazi gani?

Mapya yaibuka Tundu Lissu vs majaji vihiyo

*Yumo aliyeghushi umri, atang’atuka mwaka 2017

*Mwingine ahitimu chuo kikuu na kupewa ujaji

Miezi kadhaa baada ya JAMHURI kuchapisha taarifa ya utetezi wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kuhusu uteuzi wa majaji wasio na sifa, mbunge huyo ambaye pia ni Mnadhimu Mkuu wa Upinzani na Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, wiki iliyopita alijitokeza tena na kutishia kumshitaki Rais Jakaya Kikwete.

JKT ni mtima wa Taifa (2)

Vijana waliongia baada ya wale wa kwanza walipewa majina mbalimbali, maana kazi yao kubwa ilikuwa kujenga Taifa na si kuziba nafasi katika Jeshi la Ulinzi. Novemba 1964 waliingia vijana zaidi ya 400 na hawa waliitwa “Mkupuo Maendeleo” (Operation Maendeleo). Ndiyo hasa waliofungua kambi mbalimbali za uzalishaji mali katika JKT.