JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

JK kikwazo CCM

*Yabainika ndiye mwasisi wa makundi CCM

*Akemea dhambi iliyomwingiza madarakani

 

Staili ya uongozi wa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete, inatajwa kwamba haitakuwa na msaada mkubwa wa kuiwezesha Sekretarieti mpya kutekeleza ahadi na maazimio ya Mkutano Mkuu wa Nane uliomalizika mjini Dodoma hivi karibuni.

JK kikwazo CCM

*Yabainika ndiye mwasisi wa makundi CCM

*Akemea dhambi iliyomwingiza madarakani

 

Staili ya uongozi wa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete, inatajwa kwamba haitakuwa na msaada mkubwa wa kuiwezesha Sekretarieti mpya kutekeleza ahadi na maazimio ya Mkutano Mkuu wa Nane uliomalizika mjini Dodoma hivi karibuni.

Urais ni Magufuli, Membe, Lowassa

*Wasira,  Mwakyembe, January Makamba nao watajwa kundini

Mkutano Mkuu wa Nane wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliomalizika mjini Dodoma wiki iliyopita, umetoa ishara ya baadhi ya wanachama wanaoweza kupeperusha bendera ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Wazungu Mererani wasalimu amri

Kampuni ya TanzaniteOne Ltd inayochimba madini ya tanzanite katika eneo la Mererani mkoani Manyara, hatimaye kuanzia wiki hii italazimika kuachia asilimia 50 ya hisa zake zimilikiwe na wazalendo, imethibitishwa.

Yaliyotikisa Mkutano wa Tisa wa Bunge

Mkutano wa tisa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulihitimishwa Novemba 9, mwaka huu, mjini Dodoma, ukiwa umetikiswa zaidi na hoja binafsi za wabunge; Kabwe Zitto, Halima Mdee na hukumu ya Spika wa Bunge, Anne Makinda.

Chadema vaa miwani muone CCM walipoangukia

Wiki iliyopita Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemaliza mkutano wake wa Nane. Katika mkutano huu kimemchagua Mwenyekiti, Rais Jakaya Kikwete Makamu Mwenyekiti Bara, Philip Mangula na wa Visiwani, Dk. Ali Mohamed Shein, huku Wilson Mukama aliyeingia madarakani kwa kuwapiga fitina viongozi waliomtangulia akienguliwa wadhifa huo alioutumikia kwa miezi 17 tu, na ukatibu Mkuu wa CCM ukatua kwa Abdulrahman Kinana.