Latest Posts
Nashukuru, utabiri kwa Nyalandu unatimia
Tangu mapema kabisa nilishasema kwamba Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ni tatizo. Niliyasema haya wiki kadhaa baada ya kuteuliwa kwake kushika wadhifa huo.Nyalandu alianza matatizo tangu akiwa Wizara ya Viwanda na Biashara. Nadhani Dk. Cyril Chami, anaweza kuwa msaada mzuri katika hili ninalolisema.
Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (4)
Wiki iliyopita nilieleza chanzo na sababu za kuwapo kwa udini nchini, jinsi ulivyopandwa na kupaliliwa hadi kumea na kuwa mgumu kama kisiki cha mti aina ya mpingo.
Uhuru umeyeyusha matarajio yetu
Desemba 9, mwaka huu, Watanzania tumeadhimisha miaka 51 ya Uhuru wa nchi yetu, huku wengi wetu wakikabiliwa na maisha magumu kupindukia. Binafsi ninaamini kuwa ni unafiki kusema Tanzania haina cha kujivunia, lakini pia ni unafiki kusema Serikali kupitia Uhuru huu, imeboresha maisha ya wananchi.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
- Kapinga azindua namba ya bure yabhuduma kwa wateja TANESCO
- Dk Biteko mgeni rasmi mkutano wa 62 wa Bodi ya EITI Arusha
- Tanzania na Urusi kushirikiana kuimarisha uhifadhi wa misitu kwa teknolojia za kisasa
- Wizi wa mafuta, uwekaji vinasaba wabainika kuwa na walakini
- DAWASA yaahidi uhakika wa uzalishaji wa maji Dar
Habari mpya
- Kapinga azindua namba ya bure yabhuduma kwa wateja TANESCO
- Dk Biteko mgeni rasmi mkutano wa 62 wa Bodi ya EITI Arusha
- Tanzania na Urusi kushirikiana kuimarisha uhifadhi wa misitu kwa teknolojia za kisasa
- Wizi wa mafuta, uwekaji vinasaba wabainika kuwa na walakini
- DAWASA yaahidi uhakika wa uzalishaji wa maji Dar
- ‘Dawa mpya za kulevya na dawa tiba zenye asili ya kulevya tishio duniani’
- RC Chalamila aingilia kati sakata la mjane kutolipwa haki zake na Hospitali ya Amana
- Barabara Kimara-Mavurunza-Bonyokwa-Kinyerezi kuwa ya lami
- BRELA yawanoa waadishi wa habari wa Jamhuri Media
- TANAPA yavunja rekodi tena
- Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani afungua mkutano wa kibunge New York
- Rais Samia ametoa kipaumbele wa Serikali za Mitaa kuchochea maendeleo- Mchengerwa
- Trump anamaliza vita duniani
- ‘Uvuvi ni Utajiri’
- Hatimaye Viti Maalum bungeni vyafikia ukoml
Copyright 2024