Latest Posts
Rais Samia aweka jiwe la msingi ujenzi wa maghala 28 ya kuhifadhi chakula Luhimba, Ruvuma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameongoza hafla ya uwekaji jiwe la msingi kwa ujenzi wa maghala 28 mapya ya kuhifadhi nafaka katika eneo la Luhimba, Ruvuma. Hafla hii imefanyika Septemba 24, 2024, imekuja kama…
Polisi wachunguza kifo cha Sonii aliyefariki wakati akitoroshwa mikononi mwa Polisi Arusha
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linachunguza tukio la kifo cha mtu mmoja aitwaye Johnson Josephat maarufu kwa jina Sonii (39), Mkazi wa Unga Limited Jijini Arusha aliyefariki dunia tarehe Septemba 23, 2024 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya…
Serikali yaipongeza Green Acres kwa kuendelea kufanya vizuri kitaaluma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imeipongeza shule ya msingi na sekondari, Green Acres ya jijini Dar es Salaam kwa namna ambavyo imekuwa ikifanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kitaifa kuanzia ngazi ya Wilaya hadi taifa. Pongezi…
Samia atoa miezi mitatu mradi wa maji Mchangombole Madaba kukamiika Songea
Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia, Songea Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan metoa miezi mitatu kwa wakala wa Maji Vijiji (RUWASA) kukamilisha mradi wa maji wa Mchangombole uliopo Halmashauri ya Madaba wilayani Songea Mkoa wa Ruvuma na amewataka…
JKCI kutanua huduma za matibabu ya moyo nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kupeleka huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo katika maeneo mbalimbali nchini kwa kufungua kliniki za matibabu kuwapunguzia wagonjwa adha ya kufuata huduma hizo Dar…
Rais Dkt. Samia atoa miezi mitatu Mradi wa Maji Mtyangimbole uanze kufanya kazi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa miezi mitatu kwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na watendaji wake kuhakikisha mradi wa maji wa Mtyangimbole unaanza kufanya kazi. Rais…