Latest Posts
Marekani : Iran inataka kumuua Trump
IDARA ya Ujasusi ya Marekani imemuonya mgombea urais kwa tiketi ya Republican, Donald Trump, juu ya kile inachodai ni kitisho cha kweli na cha wazi kutoka Iran inayotaka kumuua. Timu ya kampeni ya mgombea huyo ilisema kwenye taarifa yake ya…
Wasafirishaji binadamu wakamatwa
Polisi nchini Ujerumani imefanya msako katika majengo kadhaa kusini magharibi mwa nchi hiyo ili kuwakamata watu wanaojihusisha na usafirishaji haramu wa binadamu . Jeshi la Polisi nchini humo tayari limeshapokea hati nne za kuwakamata na msako huo utaendelea kufanyika katika…
Rais Samia ashuhudia usafishaji kahawa katika Kampuni ya AVIV
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika kichanja (dryer) cha kusafisha na kuanika Kahawa aina ya Arabica ya Kampuni ya AVIV Tanzania Limited tarehe 24 Septemba 2024 wakati wa ziara yake katika shamba…
P Didy aomba kuzungumza na watoto wake
Na Isri Mohamed Wakati akisubiri kusikiliza kesi yake katika kituo cha Metropolitan Detention Center cha Brooklyn, New York City, Rapa Sean Didy Combs maarufu kama P Didy, ameomba kuzungumza na watoto wake kwa njia ya simu ili kujua hali zao….
Kapinga : Mkakati wa matumizi ya maji kwa kuzingatia mahitaji ya kila sekta umeleta mafanikio
📌 Ampongeza Dkt.Biteko kutoa muongozo matumizi endelevu ya maji 📌 Asema JNHPP ni kielelezo cha matumizi bora ya maji 📌 Asisitiza Taasisi za Serikali kuendelea kusimamia matumizi bora maji Imeelezwa kuwa, Mkakati wa ushirikiano uliowekwa na Wizara zinazohusika na Sekta…