Latest Posts
Serikali mbioni kutatua kero ya msongamano wa magari barabara ya Dar – Kilwa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mkuranga Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza serikali ipo mbioni katika mchakato wa kutangaza zabuni kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Mzinga, linalotarajiwa kupunguza changamoto ya msongamano wa magari katika barabara inayounganisha Dar es Salaam…
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Na Leluu Majjid, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Mapinduzi kimemkanya Makamo Mwenyekiti wa ACT_Wazalendo Ismail Jussa Ladhu na kumtaka aachane na fikra za kizamani na kutaka kukirithisha kizazi kipya siasa za enzi za ASP na Hizbu. Ametakiwa kuacha mpango huo kwani…
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza limemkamata dereva wa gari lenye namba za usajili (T 458 DYD) aina YUTONG BUS kampuni ya Asante Rabi, Shedrack Michael Swai (37), aliyeendesha gari kwa uzembe na kusababisha ajali iliyosababisha vifo vya watu nane,…
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WATUMISHI Housing Investment (WHI) imetunukiwa tuzo ya ‘Nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika’ iliyotolewa na Taasisi ya Mikopo ya Nyumba Afrika inayotambuliwa na Umoja wa Afrika. Tuzo hiyo imetolewa katika mkutano Mkuu wa…
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limesema hadi sasa watu 90,000 wamesajiliwa kwenye Kazidata ya Programu Maalum ya Imarisha Uchumi na Mama Samia (IMASA) yenye lengo la kuinua uchumi wa Watanzania…
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Setilaiti ya mawasiliano iliyotengenezwa na kampuni kubwa ya vyombo vya angani ya Boeing imevunjika kwenye uzingo. Mwendeshaji satelaiti, Intelsat, amethibitisha “hasara ya jumla” ya iS-33e, ambayo imeathiri wateja katika maeneo ya Ulaya, Afrika na sehemu za eneo la Asia-Pasifiki. Intelsat…