Latest Posts
Urusi yafanya mashambulizi usiku kucha mjini Kyiv Ukraine
Jeshi la Ukraine limesema kuwa kitengo chake cha ulinzi wa anga kimedungua droni 59 kati ya 116 zilizorushwa na Urusi usiku kucha. Jeshi hilo limeongeza kuwa lilipoteza mwelekeo wa droni 45 ambazo huenda zilianguka katika eneo lake. Jeshi hilo pia…
Profesa Mkumbo avutiwa na utendaji wa bandari ya Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Waziri Ofisi ya Raisi Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amepongeza uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanywa na kampuni ya kimataifa ya uwekezaji ya DP World katika bandari ya Dar Es Salaam na kuangalia ni namna…
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia,Dar es Salaam Foundation for Civil Society (FCS) na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (LATRA CCC) wamesainiana Mkataba wa Makubaliano (MoU) wa miaka mitatu ili kuimarisha ulinzi wa walaji na haki zao…
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Migogoro baina ya wanyamapori na binadamu imepata tiba baada ya Wizara ya Maliasili na Utalii kuja na mfumo wa usimamizi wanyama wakali na waharibifu (PAIS) katika Wilaya ya Babati,Mkoa Manyara. Katika mfumo huo, unawezesha wananchi…
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa ujenzi nnocent Bashungwa leo hii ameongoza hafla ya usainishwaji mikataba ya ujenzi wa daraja la jangwani, Dar es salaam. Mkataba huo umesainiwa mbele ya viongozi mbalimbali wa kiserikali wa mkoa pamoja…
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwenyekiti wa Kamati ya Utawala na Fedha ya Bodi ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), CPA Constantine Mashoko ameitaka Menejimenti ya taasisi hiyo kukamilisha mchakato wa upatikanaji wa Ithibati wa Vyungu…