Latest Posts
Polisi wathibitisha kifo cha katibu wa CCM aliyeuawa Iringa
Na Isri Mohamed Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limethibitisha kifo cha cha katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kilolo, Christian Nimrod Nindi (56), kilichotokea usiku wa kuamkia leo baada ya kupigwa na risasi akiwa nyumbani kwake kitongoji…
Trump amteua Susie Wiles kuwa Mtendaji Mkuu wa Ikulu
RAIS mteule wa Marekani Donald Trump amemteua Susie Wiles kuwa afisa mkuu wa utumishi wa ikulu ya White House. Huo ni uteuzi wa kwanza wa Trump baada ya ushindi wake kwenye uchaguzi wa Novemba 05 dhidi ya Kamala Harris. Kupitia…
TWCC yatoa mafunzo kwa wanawake kuhusu maunuzi ya Umma
Na Dotto Kwilasa,Dodoma. CHEMBA ya wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC)kwa kushirikiana na Trademark Africa wamefanya mafunzo juu ya ushiriki wa wanawake na makundi maalum katika kada ya manunuzi ya Umma lengo likiwa ni kuongeza upatikanaji wa masoko na huduma za kibiashara….
CCM yasikitishwa kifo cha Katibu CCM Kilolo kupigwa risasi na wasiojulikana
Chama cha Mapinduzi, kimepokea kwa mstuko mkubwa taarifa za kifo cha Katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo Mkoa wa Iringa, Bi Christina Kibiki aliyeuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiyojulikana. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo…