JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kimbembe cha petroli London kama Dar

Wakati Jiji la Dar es Salaam lilipokumbwa na zahama ya ukosefu wa mafuta na vurugu kwenye vituo vya petroli na dizeli, sote tulibaki vinywa wazi.

‘Ushindi wa Nassari ni hukumu kwa mafisadi’

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, amesema ushindi wa Joshua Nassari katika Jimbo la Arumeru Mashariki, ni hukumu mpya ya vitendo vya ufisadi vinavyofanywa na viongozi wa Serikali.

Mpimeni Zitto kujua endapo anatosha kuwa Rais au hatufai

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tanzania Bara, Zitto Zuberi Kabwe, ametangaza rasmi nia yake ya kutaka kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Ukombozi wa taifa umeanzia Arumeru

Pole Sioi Sumary. Hongera Joshua Nassari. Nyota ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inachanua. CCM waanze kujifunza kuwa kambi rasmi ya upinzani mwaka 2015.
[caption id="attachment_2" align="alignleft" width="158"]Deodatus BalileDeodatus Balile[/caption]
Haya ni maneno ya utangulizi niliyolazimika kuanza nayo katika safu hii ya Sitanii. Ikiwa mazingira hayatabadilika, nitakachokitabiri hapa ndicho kitakachotokea mwaka 2015.

Zambia inaihujumu Tanzania Tazara?

Sheria inatumika kuiua reli hiyo, wafanyakazi hoi
Mizigo tani 20,000 yarundikwa kwa mwaka mzima
Siku chache baada ya Serikali ya China kutangaza nia ya kuisadia Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) vifaa vitakavyoifufua reli hiyo, Chama cha Wafanyakazi TRAWU-TCPC kimesema njia pekee ya kuanza kuifufua reli hiyo ni kuondoa uongozi wa mameneja wote wa vitengo, na kuweka mameneja wapya wenye uwezo wa kufanya kazi kibiashara zaidi.

Messi wa Barcelona, Argentina ni kama Boko wa Azam na Tanzania

LICHA YA KUJITENGENEZEA REKODI NA KUTESA DUNIANI:

WIKI tatu zilizopita, mshambuliaji anayeaminika kuwa ndiye bora zaidi duniani hivi sasa, Lionel Messi, alivunja rekodi ya kuifungia mabao mengi zaidi timu yake ya Barcelona ya Hispania tangu ilipoundwa.