JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jaji Warioba natarajia urejeshe Tanganyika yetu – 4

Mada hii inazidi kunoga. Inanoga kwa maana kwamba kila ninapojiandaa kuandika sehemu inayofuata linajitokeza jambo linalonisukuma kuanza nalo. Wiki hii si jingine bali ni jinsi Bunge lilivyojidhihirisha kuwa na nguvu ya pekee.

Taifa Queens kama Stars?

Pamoja na kuwa na kocha mahiri nchini, Kapteni Mary Protas, timu ya taifa ya netiboli Tanzania (Taifa Queens) huenda ikawa kapu la magoli wakati wa Michuano ya Kombe la Afrika itakayotimua vumbi kwa siku tano kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa jijini Dar es Salaam, kuanzia leo.

Takukuru inajipendekeza kwa Rais Kikwete?

“Sheria inatutaka tufanye uchunguzi wa tuhuma zozote na katika hili, CAG alitakiwa atupe taarifa. Lakini sisi baada ya kusikia bungeni tulimwandikia barua kumwomba atupatie ripoti ya mambo yanayotuhusu (ili) tuanze kuyashughulikia haraka,” anasema Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Dk. Edward Hoseah.

Wenye CCM nao wameichoka!

Uchaguzi unaoendelea katika ngazi mbalimbali ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), unapaswa kuwa funzo maridhawa kwa makada, viongozi na wafuasi wa chama hicho kikongwe.

Kuhujumu gazeti: Waingereza wangecheka hadi wafe

Zilipokuja habari za gazeti hili makini kuhujumiwa kwa nakala zote hili kununuliwa, watu wa hapa hawakuamini. Nilikuwa kwenye kijiwe cha kuvuta sigara – si unajua kila eneo la kazi pametengwa eneo la kupunguzia baridi – nilipozisikia.

Tanzania kuimarisha usambazaji wa maji jijini Dar es Salaam

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Christopher Sayi, amesema Serikali imeanzisha mradi mkubwa wa maji katika Jiji la Dar es Salaam na utakapokamilika, kwa miaka 15 ijayo Jiji hili halitakuwa na shida ya maji.